Tuesday 16 December 2014

Wananchi wakiwa eneo la tukio kutoa msaada kwa waliojeruhiwa katika ajali hiyo.
Baadhi ya maiti zikiwazimelazwa chini.

Picha zote zikionyesha mandhari ya sehemu ajali hiyo                                            ilipotokea.
Watu saba wamefariki Igunga, mkoani  Tabora, ambapo wengi wamejeruhiwa baada ya basi la Mohammed Trans  lililokuwa likitoka Mwanza kuelekea Dar es Salaam, kukatika 'steeering power' likaacha njia na kupinduka. 
   Basi hilo limepinduka leo majira ya saa nane mchana, ambapo maiti na majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.

0 comments:

Post a Comment

Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com