Tuesday 2 September 2014

Monday, March 31, 2014

Here is claimed is Guest, according to its description on the web.
since this network have the line go on to fight the odds for girls range stop to take pictures of shame in the community and provide some photos on the web to lead many girls to reduce if not stop completely but state begun to reconsider where one girl who allegedly is a musician's songs of gospel fire photographs of shame and let in networking for the purpose of finding the men. Listed Natasha having the cloth of honor in the community. According to our source, which is a girl who is close to Natasha has lived pimple areas Dar said that the pictures are scattered networking and dissemination man himself where are the other worst that the girl looked kujipapasa sensitive parts aimed at men urge them weak.

Wednesday, Aug



Actress who referred to this name Rayuu has decided to come out and ask her family willing to be photographed nude dirty that spread widely in almost all social networks.



 
Some of the weapon held by the police.
Commander Suleiman Kova apprehended by pointing weapon Journalists (are not pictured).  
WORLD'm crazy: This UNIQUE WORLD SEE PHOTO Wedding ever. Click here!
Some Journalists Were listening Kova.
 Military   Police Special Zone of Dar es Salaam linamshikilia MAN KNOWN for j i and the Gunner Meena (40), a resident of Kinyerezi, Segerea, Dar es Salaam, on Charges of pretending Minister of the Department of National Security. of Dar es Salaam linamshikilia MAN KNOWN for j    Gunner   Meena (40), a resident of Kinyerezi, Segerea, Dar es Salaam, on Charges of pretending Minister of the Department of National Security. 

When prompting last event he is arrested pomtishia mfanyab i ness originally a Somali named Abdi Dalmar, to give Tshs 25,000,000 / = or I Could take action under the National Security.     

Moreover host h i lo in conducting OPERATIONS to eradicate Crime Armed Successful capture four and one pistol shot-gun this week. robber Armed Successful capture four pistols and shot-gun one this week.   

Police in Norwich are investigating an attack on a dog in the early hours of Saturday morning.
Just before 6am someone found a brown and white boxer cross dog abandoned in Sloughbottom Park
Police in Norwich are investigating an attack on a dog in the early hours of Saturday morning.
Just before 6am someone found a brown and white boxer cross dog abandoned in Sloughbottom Park with his legs all tied together and his collar bound up with string and household electrical cable.
The dog was left tied up
The dog was left tied up Credit: Norfolk Police
He had then been tied to a post with cabling around his neck, leaving him unable to stand up or move.
Officers looked after the dog at the scene and together with vets managed to free him for treatment.
Police care for the dog
Police care for the dog while waiting for vets to arrive Credit: Norfolk Police
The dog is thought to be about 4 years old and while he was in pain from being tied up he is relatively healthy. He's not got an identity tag or micro chip.
"Attacking a dog in this way is completely unacceptable and I would urge anyone who has information about the incident to contact me. Officers will be working with Inspectors from the RSPCA to find the person responsible and take action.”
– PC Craig Bidwell
Spencer
Spencer is now recovering with the RSPCA Credit: Norfolk Police
Staff at the RSPCA who are currently caring for him have nicknamed him ‘Spencer’
"Poor Spencer was traumatised from this horrible ordeal but luckily not hurt. He is a lovely dog, and has clearly been well looked after, so it might even be that there is a loving owner out there missing him. We urge anyone with any information to come forward.

Lancashire Police
Shocking images show Cynthia Bell's injury. Credit: Lancashire Police
A pensioner was left with a pen embedded in her arm after a row on a coach in Blackpool.
Cynthia Bell, 66, from Durham, was helping at her husband's coach company when a man boarded the vehicle and refused to leave.

The man stabbed Ms Bell with a pen as she attempted to stop him touching the controls.
The incident occurred in a coach park at Seasiders Way in Blackpool at around 5pm on August 24.
Lancashire Police said the 66-year-old was lucky to avoid serious blood loss or nerve damage.

Lancashire Police
The 66-year-old was attacked during a confrontation on a coach in Blackpool. Credit: Lancashire Police
The offender - who used "significant force" to stab Bell - is described as a white male in his late teens or early 20s, 6ft and of stocky build, with short dark hair.
Police are also attempting to trace two young women who were with the suspect.
The first is said to be white, wearing a pink top with a floral print and walked with a limp and pushed a pram.

The second woman had blonde hair, a tattoo on the right side of her lower stomach and was wearing a cream jumper.
Anyone with information has been urged to contact either PC 6857 Danny Morris or DS 3370 Mark Dickinson on 101 quoting log number 0979 of 24 August 2014
KWA mara ya kwanza Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe ameibuka na kuzungumzia uhusiano wake na mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’ na kufuta uvumi mzito uliokuwa ukizagaa kuwa wawili hao ni wapenzi.
 
Aidha alikanusha vilevile juu ya kuhusishwa kutembea na Mwasiti Zitto alikiri kuwa ni baba wa mtoto mmoja kwa


Umesikia watu wakisema “wanajifunza kutakana na makosa” ni kweli kwamba kila ufahamu tunaoupata unatokana na makosa tuliyokwisha kufanya wakati fulani. Lakini utasema nini pale ambapo unafanya taaluma ambayo umekosea? Je unafikiri utapata muda wa kujifunza kutakana na kosa hilo? Inawezekana hilo ni kosa litakalogharimu maisha yako kwa kiasi kikubwa.




Amini usiamini unaweza kubadilisha kazi mara tatu au mara nne kwa mwaka na hali yako ya kifedha isiathirike.
Kama umetumia miaka mitano kusoma kitu kisicho sahihi halafu unataka kubadilisha lazima uathirike kwa namna moja ama nyingine. Ni bora ujue toka mwanzoni kuhusu taaluma unayoiendea kabla ya kufanya makosa makubwa.
Kwa sasa inawezekana unafanya kazi na umechanganyikiwa, huyu mwandishi anamaanisha nini? Je hata mimi nimepotea? Hebu fuatilia maswali matano hapa ili uweze kujua kama uko kwenye taaluma sahihi au la!

Haufurahii kazi yako

Pale ambapo unaridhika na kazi unayofanya ndipo ni rahisi kujua umefanikiwa vile kwenye taaluma hiyo, lasivyo hautakuwa umefanikiwa. Kuna watu huamua kufuata taaluma fulani kwasabu watu wengine ameona wamefanikiwa, huo ni ujinga. Ingawa unahitaji kuchagua taaluma kulingana na ujuzi ulionao vilevile na utu /hulka na tabia ulizonazo. Usifuate mkumbo kwenye taaluma mwisho wake utaishia kuvunjika moyo na kupata msongo wa mawazo.

Utendaji wako wa kazi hauendi Vizuri
Kitu kingine ambacho kinaonyesha uko katika taaluma sahihi ni utendaji wako wa kazi. Utendaji wako wa kazi unaokuwa vizuri na haukupi shida inawezekana kwa kiasi kikubwa uko mahala sahihi, hivyo bila kufanya juhudi hauwezi kwenda hatua ya juu. Ingawa kuna mashirika mengine hupandisha vyeo watu waliokaa muds mrefu kazini kitu ambacho sio sahihi. Kama utendaji wako wa kazi unashuka kila mara, inawezekana hauko sehemu sahihi hivyo fanya maamuzi ya msingi hapo.

Hujaridhika na Majukumu yako ya kazi

Hata kama umepandishwa cheo lakini majukumu ya kazi yako huyapendi au hujaridhika nayo inamaanisha uko kwenye taaluma ambayo si ya kwako. Kumbuka kuridhika na kazi pamoja na majukumu take ni kitu cha msingi kinachokusaidia kufanikiwa na kukujenga kitaaluma na ndipo utakapoonyesha umefanikiwa.

Una Msongo wa Mawazo au Kutojielewa

Msongo wa mawazo na kutojielewa ni vitu ambavyo huwapata sana watu ambao wanafanya kazi. Ingawa kazi ambayo inakupa msiongo wa mawazo mwingi inaathiri afya yako pole pole na inaweza kukusababishia kushindwa kufanya kazi wakati mwingine. Kama Msongo wa mawazo ni kitu kisichokoma kwenye taaluma uliyopo chukua tahadhari umepotea njia.

Unafikiria kuacha kazi na kurudi shule

Hili ni kosa kubwa ambalo wafanyakazi wengi hulifanya. Wengi huacha kazi kwa sababu hawawezi kusoma na kufanya kazi wakati mmoja, hiyo ni njia mbaya au maamuzi mabaya kama unataka kufanya taaluma sahihi. Kwa mtu kama huyu mfumo wa elimu umebadilika na sio kama zamani, siku hizi kuna vyuo vinatoa elimu kupitia njia ya mtandao.
Kwahiyo unahitaji kuchukua fursa ya mtandao na wakati huo huo unaendelea kupata uzoefu katika kazi unayofanya. Na vile vile elimu kwa njia ya mtandao ni kitu ambacho wengi wanaweza kufanya kwa sababu ya gharama kuwa chini ni urahisi wa kuendelea kusoma. Unapofuata hatua hizi hautapata shida dana ya kujua taaluma sahihi unayotaka kuichukua, kazi kwako. Unaruhusiwa kutoa mchango wako na namna ulivyopata taaluma sahihi kwa ajili yako.

MH! Hatimaye yule mwanaume aliyedaiwa kufumaniwa na mke wa mtu na hatimaye kufanyiwa usodoma na  watu sita, akiwemo mume wa mwanamke huyo amefungukia mchezo mzima.
Mwanaume aliyedaiwa kufumaniwa na mke wa mtu na hatimaye kufanyiwa usodoma.
Hivi karibuni mwanaume huyo (jina tunalo) ambaye ni mume wa wake wawili na mkazi wa Yombo Kiwalani, Wilaya ya Ilala jijini Dar mwenye umri wa miaka 34 alikutwa  na mkasa huo kwenye nyumba ya kulala wageni iitwayo Yombo Executive inayomilikiwa na Athuman Maembe (pichani). 

Mara baada ya picha za tukio hilo kuenea kwenye mitandao ya kijamii na watu kushangaa, gazeti hili lilituma timu yake ya habari za uchunguzi ili kupata ukweli wa tukio hilo.Uwazi lilifanikiwa kumpata mwanamume huyo ambaye ni mfanyabiashara, pia alijitambulisha kuwa yeye ni mwelimishaji rika wa magonjwa ya ngono, afya ya uzazi, madawa ya kulevya na unyanyasaji wa kijinsia. 

Alianza kwa kusema: “Ni kweli mimi ndiye niliyetendewa ukatili ule. Natamani kujiua kwani mambo yale nayasikia tu usiombe yakukute.
“Nimefedheheka sana, sina mahala pa kuficha aibu hii kubwa. Kila nikikumbuka kuwa nina wake wawili na watoto, wazazi, marafiki na ndugu, bora hata wangeniua kuliko kuniacha nazidi kudhalilika hivi.

“Siku ya tukio ilikuwa Jumamosi ya Agosti 23, mwaka huu. Kuna mwanamke mmoja anaitwa mama Lilly alinipigia simu. Kwanza alikuwa akinipigia simu mara kwa mara wiki moja kabla ya tukio akinieleza kwamba ana shida na mimi, alisema mume wake amekuwa akimnyanyasa kijinsia. 

“Siku hiyo, saa tatu asubuhi mama Lilly alinipigia simu huku analia, akasema  kwamba mumewe kampiga na kumfukuza nyumbani hivyo anaomba kuonana na mimi kwa ajili ya ushauri ila alitaka tukutane naye maeneo ya Mtongani, Mbagala au Tandika.
Mmoja wa watuhumiwa wanaoshikiliwa na polisi kuhusiana na kesi hiyo.
“Nilikataa, nikamwambia aje kwenye Ukumbi wa Maembe ninakotoaga mafunzo mbalimbali kwa vijana. Ukumbi huo upo karibu na nyumba hiyo ya kulala wageni kulikotokea tukio.
“Huyu mwanamke namfahamu kwani kipindi cha nyuma alikuwa na stationary karibu na maeneo haya, nilikuwa nikimtengenezea kompyuta lakini miaka miwili iliyopita alihama na sikujua alipo hadi hivi karibuni aliponipigia simu.
 

“Basi, nilipomwambia aje yeye maeneo haya, aliamua kunifuata. Alifika saa saba mchana huku akibubujikwa machozi, nilimsikiliza kwa makini matatizo yake mwishowe aliniomba nimkopeshe shilingi laki moja ili aende kwao, nilimjibu kwa pale sikuwa nazo labda mpaka Jumatatu. 

“Akasema kama ni hivyo basi nimsaidie sehemu ya kulala ili kesho yake aondoke kwenda kwa dada yake. Nilimuonea huruma, nilimchukulia chumba, nikamwambia kama kutakuwa na tatizo anipigie simu. Wakati najiandaa kutoka chumbani aliendelea kuongea maneno mengi sana ya kunifanya niendelee kuwepo. 

“Wakati huo alikuwa akituma ujumbe wa simu sehemu nisiyoijua. Sasa nilipoagana naye, ile natoka tu, mlangoni niliona wanaume sita wakanirudisha chumbani na kufunga mlango.“Wakaniambia niwape namba yangu ya akaunti ya benki na password ya simu yangu kwani walijua kwamba tayari nimetumiwa fedha kutoka nje ya nchi kutoka kwa wafadhili.
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP, Mary Nzuki akiwa kazini.
“Niliwaambia sina akaunti, wakanipiga sana, ikabidi niwaongopee kwamba nyumbani nina shilingi laki tano, wakaniambia niwaelekeze nyumbani, nikafanya hivyo. Wawili kati yao waliondoka na pikipiki hadi kwangu kuchukua fedha, wengine wakawa wamenizuia chumbani na kunitishia nikipiga kelele ndiyo mwisho wa maisha yangu. 
“Wale walipofika kwangu walimwambia mke wangu awape laki tano na walimtaka aongee na mimi kwa simu huku nikiwa chini ya ulinzi. Mke wangu aliwaambia hana fedha hizo ana laki moja tu, nilimwambia awape.“Waliporudi  na shilingi laki moja walisema nimewadanganya, wakaniadhibu na kunivua  nguo, wakanilawiti kwa zamu na kunilazimisha kuwafanyia mambo ambayo ni tabu hata kuyasema huku wakinipiga picha. 

“Baada ya kumaliza walichukuwa laptop, nguo na simu wakaondoka huku wakiniambia ifikika Jumatatu, yaani siku moja baada ya tukio niwape shilingi milioni moja la sivyo wanaweka picha zangu mtandaoni. 

“Hata hivyo, baada ya kukosa hizo fedha waliziweka picha mtandaoni, ikawa napigiwa simu na watu mbalimbali walioziona.“Waliponiacha pale chumbani nikiwa  sina nguvu, nilichukuwa shuka nilijikokota mpaka kwa meneja wa gesti na kumweleza. Alinipa nguo yake ili niweze kwenda Kituo Kidogo cha Polisi cha Minazi Mirefu kutoa taarifa na baadaye  Buguruni na kufungua kesi yenye jalada namba BUG/RB/8520/2014 Kujipatia Fedha kwa Njia ya Udanganyifu lakini baadaye ikaongezwa shitaka lingine la kulawiti. 

“Kinachonishangaza ni kwamba iweje wanaume hao sita waingie na kutoka bila wenye gesti kuwabaini?” alihoji mwanaume huyo.
Naye mmiliki wa nyumba hiyo ya wageni alikiri kupokea taarifa ya kutokea kwa tukio hilo na kudai kwamba ni la aibu na kusema suala hilo linashughulikiwa na jeshi la polisi. 

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP, Mary Nzuki alipohojiwa na mmoja wa waandishi wa habari hii ofisini kwake mwishoni mwa wiki iliyopita alikiri kutokea kwa tukio hilo na kusema tayari watuhumiwa wanne wanashikiliwa Kamanda Nzuki aliwataja wanaoshikiliwa kuwa ni Erick Kasila, Sanifa Sadik, Shela Sadik na Juma Richard.


MWALIMU mmoja wa Shule ya Msingi Makurumla iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam, Maria Samuel Hoza, amejikuta akiaibika vibaya baada ya mumewe, Bryton Muhanje kumkuta akiwa katika hatua za mwisho za kufunga ndoa nyingine kwenye Kanisa Katoliki la Kigogo Luhanga, Jumamosi iliyopita.
 Mwalimu wa Shule ya Msingi Makurumla, Maria Samuel Hoza akiwa katika harakati za kufunga ndoa yake ya pili.
Gazeti hili lilimshuhudia Muhanje, akiingia kanisani na kwenda moja kwa moja mbele ya altare na kumzuia Padri Richard, ambaye alikuwa amemaliza kufungisha ndoa ya kwanza, asifanye hivyo kwa maharusi wanaofuata kwa vile ni batili. 

Chanzo chetu makini cha habari kililidokeza gazeti hili juu ya kuwepo kwa mpango wa mwanamke ambaye yupo katika ndoa, kutaka kuolewa tena na mtu mwingine bila mumewe kujua. Kufuatia ‘tip’ hiyo, kikosi kabambe cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) kilifanikiwa kupata namba ya mwanaume huyo na kufanya naye mawasiliano ili kujua ukweli wa madai hayo.
  Mume wa Maria Samuel Hoza, Bryton Muhanje akitoa pingamizi la ndoa ndani ya Kanisa Katoliki la Kigogo Luhanga.
Muhanje alikiri kupata tetesi hizo, lakini alikuwa akihaha kujua sehemu itakakofanyika harusi hiyo na kwamba timu ya vijana wake ilijipanga kuhakikisha anafahamu eneo hilo.Baadaye aliwaeleza OFM kuwa alikuwa alisikia ndoa hiyo ingefungwa Magomeni, hivyo alikodi pikipiki sita zilizofanya doria katika makanisa yote yaliyopo eneo hilo ili kujua mkewe alikuwa kanisa gani. 

Pamoja na hivyo, mwanaume huyo pia alikwenda hadi shule anayofundisha mwalimu huyo na kwa kuwa hawamfahamu, alijitambulisha kama ndugu yake na kwamba alikuwa anaomba kujua kanisa ambalo (mkewe) atafunga ndoa, kwani ameelezwa kuwa lipo Magomeni lakini hakuelewa ni lipi.
“Wanafunzi wa pale wakaniambia siyo Magomeni, bali ndoa inafanyika Kigogo Luhanga, ndipo nilipowasiliana na wenzangu na kuwaeleza habari hiyo, nikaongozana na baadhi ya wanafunzi ambao pia walikuwa wanakwenda kwenye harusi hiyo,” alisema.
Padri Richard akitoka nje ya kanisa hilo mara baada ya pingamizi la harusi kutokea.
OFM ikiwa tayari kwa kunasa tukio hilo, walikuwa wameshatinga kanisani hapo mapema na kushuhudia maharusi watatu tofauti wakijiandaa kufunga ndoa, wakiwemo Maria na mwenzake.

Ratiba ilionyesha kwamba ndoa ya wawili hao ilikuwa ya pili, hivyo mara tu zamu yao ilipofika na Padri Richard kuanza kutoa risala ya kuwapongeza kwa hatua waliyofikia, wote walionekana kuwa na bashasha ya siku hiyo muhimu ya kuungana. 

Ghafla bila kutarajia, wakati wasaidizi wa padri wakimletea kibakuli chenye pete ya ndoa, Muhanje alijitokeza na kumuomba mchunga kondoo huyo kusitisha zoezi hilo kwa vile anayetaka kufunga ndoa, ni mke wake halali.
  Makamanda wa Polisi wakiwa nje ya kanisa tayari ili kutuliza ugomvi.
Akiwa amepigwa na butwaa, padri huyo alilazimkika kwanza kumuuliza bibi harusi kama anamtambua mtu aliyesimama mbele yake, lakini akiwa mkavu alikataa akidai hajawahi kumuona maishani mwake.

Mume akiwa ameongozana na mpambe wake aliyesimamia ndoa yake, alimuomba padri atoe vielelezo kuthibitisha ukweli huo na baada ya kupewa nafasi hiyo, alionesha picha mbalimbali za siku ya harusi yao, nakala ya cheti cha ndoa na akaomba pia aruhusiwe atoe kompyuta yake mpakato ili achezeshe video ya siku hiyo ya Oktoba 29, 2009 alipofunga naye ndoa katika Kanisa la KKT Kimara Korogwe, Dar. 

Kwa ushahidi huo, padri huyo alikubaliana naye na kusimamisha zoezi hilo na kuwataka kuongozana kwenda ofisini kwa mazungumzo zaidi. Baada ya mazungumzo marefu ofisini, padri huyo alikubaliana na hoja za mume na hivyo kusitisha zoezi hilo, akidai mwanamke huyo hawezi kuolewa kwa mara ya pili. 

Ilifahamika baadaye kuwa Maria, ambaye amezaa mtoto mmoja na Muhanje, alitumia jina la Neema Stanley Hoza katika kusudio lake la kufunga ndoa ya pili.
Baadhi ya wapambe na wanandugu wakirudi makwao mara baada ya ndoa kubatilishwa.
Hata hivyo, wakati kukiwa na sintofahamu ya tukio hilo kanisani, ghafla kikosi cha askari polisi wakiwa katika ‘difenda’ kilitia timu kuhakikisha usalama unakuwepo.Askari hao walisema walipewa taarifa za kuwepo kwa tukio ambalo lingeweza kuhatarisha amani na ili kuhakikisha jambo hilo linatokea, waliondoka na maharusi wa pili baada ya taratibu za kikanisa kukamilika. 
Baada ya tukio hilo, Muhanje alisema alimuoa mkewe mwaka huo, baada ya kuwa ameishi naye kinyumba kuanzia mwaka 2005.“Baada ya kukaa naye kwa miaka minne, tukaamua kufunga ndoa mwaka huo wa 2009 na baada ya hapo, yeye akaenda kufanya kazi ya ualimu Lushoto katika Shule ya Shambalai.
  Picha ya ushahidi ikionesha ndoa ya halali kati ya Bw. Bryton Muhanje na Mwl. Maria Samuel Hoza.
“Mwanzo tulikuwa na maisha mazuri tu na katika kipindi hicho, nilijitahidi kumfanyia utaratibu wa uhamisho ili aje Dar na kufanikiwa kumleta mwaka 2012 na alipangiwa Shule ya Makurumla.“Baadaye kidogo hali yangu kifedha ikayumba, ndipo matatizo yalipoanza kwani kitendo cha kutegemea hela za mshahara wake katika maisha kikamshinda, akaanza kutafuta visa mbalimbali ili mradi mimi nimpige apate sababu ya kuondoka. 

“Alifanya vituko vingi sana, wakati mwingine alifunga mlango na kuondoka na funguo na kwenda kwa dada yake na kulala huko huko, wakati mwingine aliamua tu kuvunja vitu bila kujali hadi mwaka jana mwezi wa nne alipoondoka moja kwa moja kwenda kusikojulikana.“Siku chache zilizopita ndipo nilipopata habari kwamba ana mpango wa kuolewa, ndipo nikaanza kufuatilia ili nijue. 

“Nilipokuwa pale kanisani wakati wa kuzuia ndoa, yule mwanaume aliyetaka kumuona mke wangu, alinitishia kuwa atanikomesha, nimeenda polisi kuripoti maana siwezi kujua atafanya nini na nimefungua jalada lenye namba MAG/RB/8452/2014 KUTISHIWA KUUA KWA MANENO.”
Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com