Sunday 14 September 2014

Picha za Waanzilishi wawili wa Mtandao Mkubwa East Africa wa Jamii Forums ambao ni Maxence Melo na Mike , Najua ni Wengi Mlikuwa mnapenda Kuwajua kama mimi nilivyokuwa nahamu ya kuwaoana, Jamii forums ni mtandao ambao watu huingia na kujadili mambo mbali mbali kama Siasa, Udaku , Biashara n.k 
Hongera zaoence Melo na Mike , Najua ni Wengi Mlikuwa mnapenda Kuwajua kama mimi nilivyokuwa nahamu ya kuwaoana, Jamii forums ni mtandao ambao watu huingia na kujadili mambo mbali mbali kama Siasa, Udaku , Biashara n.k 
Hongera zao




Obama .
obama-kenyan
Obama-and-his-grandma-doing-farm-work
president obama
Young Barack Obama with his paternal grandmother Sarah Onyango Obama (also known as Sarah Ogwei is the third wife of Barack Obama’s paternal grandfather)
President Obama used her accounts of the family history extensively in his 1995 autobiography, Dreams From My Father (A Story of Race and Inheritance) he has  other books
The Audacity of Hope, Of Thee I Sing (A Letter to My Daughters by Barack Obama and Loren Long)…
He made history when he became  the 44th  President of the United States and the first African American to hold the office.
God has a way of always lifting people up to put  their enemies to shame!
Barack Obama  was destined to be great!


Kutana na Lemon, mbwa anayependa kufanya kazi za nyumbani kama binaadam. Lemon hupenda kwenda kuchota maji na anaweza kulima vizuri kwa kutumia jembe la plau.
Mmiliki wake, Alexander Matitsyn alimnunua Lemon baada ya kustaafu kazi ya jeshi.
Fani yake akiwa katika jeshi la Urusi ilikuwa kufunza mbwa jinsi ya kutekeleza majukumu mbalimbali, hivyo si ajabu aliweza kumfundisha Lemon 'ujanja'.
"Hupenda kujifunza na kujaribu mambo mapya na huwa hasahau" amesema bwana Matitsyn.

Saturday 13 September 2014





KING Mswati Mfalme wa Swaziland amefikisha wake kumi na nne 14 baada ya juzi jumatatu kumchagua mke mwingine mwenye umri wa miaka 19 masharti ya mwanamke anaetakiwa kuchaguliwa ni sharti awe bikra.

Takribani wasichana 80,000 walipita mbele ya wageni wa heshima 46 ambapo na mfalme alikuwa ameketi mbele akiwa kaketi na malkia aliechaguliwa mwaka jana LaFogiyane Baadhi ya wasichana wanakimbia katika taifa hilo kutokana na sheria hizo.

Wasichana hao hupita wakiwa nusu uchi ndipo mfalme anachagua mke wake kafikisha wake 14

A combined team of the Zambia and Tanzanian police officers picking dead bodies of 7 men suspected to be Tanzanians found dumped in a bush in Yolo Village, 500 metres from the Tanzanian / Zambia border on Friday last week. Picture by Jonathan Mukuka Mr. Kapeso said all the 7 bodies were claimed last night around 23:00 hours and taken back to Tanzania.

He said police at Nakonde have also handed over one middle aged man who was nursing bullet wounds at New Nakonde District Hospital and is suspected to have been with the dead men.

Mr. Kapeso however, could not give details as to how the man survived.

A suspect was picked early in the morning on Friday near Chaula filling station with bullet wounds on the left side of the chest similar to the bullet wounds found on the slain men who were found dumped in a bush in Yolo village about 500 metres from the Tanzania / Zambia border.

Mr. Kapeso said police are still investigating the matter to find out the motive behind dumping the dead bodies on the Zambian soil.

On Friday last week, residents of Yolo village woke up to a rude shock when they found seven dead bodies in the bush.
Yolo Village headman Laston Mugala told ZANIS in an interview that the 7 bodies were found by school- going children around 06:00 hours.

Mr. Mugala said they could not see or hear the sound of a vehicle that brought the 7 dead bodies and dumped them in a bush adding that marks of vehicle tyres dripping blood where visible over a long distance from Tanzania into Zambia where the bodies were dumped.

The seven bodies were kept at old Nakonde district hospital before they were claimed by the Tanzanian authorities.


http://www.dailymotion.com/video/x25ubxz_dbgtl_music
MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita pita katika kurasa za marafiki zangu huko katika uso wa kitabu ‘Facebook nikakutana na nasaha ya ndugu yangu Victory Richard, juu ya kuwasihi wanawake kwamba sasa wavae nguo.















Hali ya mitindo ya mavazi kwa dada hapa nchini kwa sasa imekuwa gumzo kutokana na baadhi yao kutumia vibaya uhuru tulio nao,kwa sasa kuvaa nguo fupi na kutembea barabarani ni kitu cha kawaida.kutokana na hali hiyo dada zetu wa vyuo mbalimbali nchini wamekuwa wakivaa mavazi hayo na kupiganayo picha, ambapo kitu hicho kimekuwa kikiwaharibia sifa zao kwa siku za hivi karibuni.

Na kutokana na tatizo hili wazazi wetu tunapaswa kuamka sasa na kulivalia njuga swala hili la watoto wetu kuvaa nguo fupi na kupiga picha za nusu uchi
Ajali mbaya imetokea leo alfajiri katikati ya madaraja mawili ya chuma yaliyoko katika eneo la Kawe pembeni ya kambi ya JKT Mlalakuwa, Dar es Salaam.
Ajali hiyo imesababisha dereva kupoteza maisha na kuacha vipande vya ubongo vikining'inia katika moa ya mdaraja hayo baada ya gari hilo aina ya Toyota Celica GTR lenye namba za usajili T220ABL kugonga na kisha kuingia kwenye ukingo wa daraja hilo na kisha kutumbukia kwenye mto.
Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com