Saturday 13 September 2014





KING Mswati Mfalme wa Swaziland amefikisha wake kumi na nne 14 baada ya juzi jumatatu kumchagua mke mwingine mwenye umri wa miaka 19 masharti ya mwanamke anaetakiwa kuchaguliwa ni sharti awe bikra.

Takribani wasichana 80,000 walipita mbele ya wageni wa heshima 46 ambapo na mfalme alikuwa ameketi mbele akiwa kaketi na malkia aliechaguliwa mwaka jana LaFogiyane Baadhi ya wasichana wanakimbia katika taifa hilo kutokana na sheria hizo.

Wasichana hao hupita wakiwa nusu uchi ndipo mfalme anachagua mke wake kafikisha wake 14

A combined team of the Zambia and Tanzanian police officers picking dead bodies of 7 men suspected to be Tanzanians found dumped in a bush in Yolo Village, 500 metres from the Tanzanian / Zambia border on Friday last week. Picture by Jonathan Mukuka Mr. Kapeso said all the 7 bodies were claimed last night around 23:00 hours and taken back to Tanzania.

He said police at Nakonde have also handed over one middle aged man who was nursing bullet wounds at New Nakonde District Hospital and is suspected to have been with the dead men.

Mr. Kapeso however, could not give details as to how the man survived.

A suspect was picked early in the morning on Friday near Chaula filling station with bullet wounds on the left side of the chest similar to the bullet wounds found on the slain men who were found dumped in a bush in Yolo village about 500 metres from the Tanzania / Zambia border.

Mr. Kapeso said police are still investigating the matter to find out the motive behind dumping the dead bodies on the Zambian soil.

On Friday last week, residents of Yolo village woke up to a rude shock when they found seven dead bodies in the bush.
Yolo Village headman Laston Mugala told ZANIS in an interview that the 7 bodies were found by school- going children around 06:00 hours.

Mr. Mugala said they could not see or hear the sound of a vehicle that brought the 7 dead bodies and dumped them in a bush adding that marks of vehicle tyres dripping blood where visible over a long distance from Tanzania into Zambia where the bodies were dumped.

The seven bodies were kept at old Nakonde district hospital before they were claimed by the Tanzanian authorities.


http://www.dailymotion.com/video/x25ubxz_dbgtl_music
MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita pita katika kurasa za marafiki zangu huko katika uso wa kitabu ‘Facebook nikakutana na nasaha ya ndugu yangu Victory Richard, juu ya kuwasihi wanawake kwamba sasa wavae nguo.















Hali ya mitindo ya mavazi kwa dada hapa nchini kwa sasa imekuwa gumzo kutokana na baadhi yao kutumia vibaya uhuru tulio nao,kwa sasa kuvaa nguo fupi na kutembea barabarani ni kitu cha kawaida.kutokana na hali hiyo dada zetu wa vyuo mbalimbali nchini wamekuwa wakivaa mavazi hayo na kupiganayo picha, ambapo kitu hicho kimekuwa kikiwaharibia sifa zao kwa siku za hivi karibuni.

Na kutokana na tatizo hili wazazi wetu tunapaswa kuamka sasa na kulivalia njuga swala hili la watoto wetu kuvaa nguo fupi na kupiga picha za nusu uchi
Ajali mbaya imetokea leo alfajiri katikati ya madaraja mawili ya chuma yaliyoko katika eneo la Kawe pembeni ya kambi ya JKT Mlalakuwa, Dar es Salaam.
Ajali hiyo imesababisha dereva kupoteza maisha na kuacha vipande vya ubongo vikining'inia katika moa ya mdaraja hayo baada ya gari hilo aina ya Toyota Celica GTR lenye namba za usajili T220ABL kugonga na kisha kuingia kwenye ukingo wa daraja hilo na kisha kutumbukia kwenye mto.


BOFYA HAPO CHINI KUANGALIA HIZO PICHA,ANGALIZO KAMA WEWE NI MTOTO USIBOFYE PICHA PITA PEMBENI





You might also like:
Baba mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Kaga mkazi wa Mwanga Kisangani ''B'' jirani na Saigoni amemuua mpenzi wake kwa kumnyonga na kumtumpa katika makorongo ya Kilimahewa ''B'' Chini ya Shule ya Msingi Kilimahewa.

Taarifa za awali zinasema kulikuwa na ugomvi baina yao hao wapenzi wawili hali iliyopelekea mwanamke (Mama Koku) kumshtaki mwanaume mahakamani na kusababisha Mwanaume kufungwa miezi miwili jela. 
 
Siku kadhaaa baada ya mwanaume kutoka gerezani alipata habari kuwa mpenzi wake huyo aliyesababisha kuwekwa ndani anatembea na mwanaume mwingine ndipo mwanaume huyo alipopanga njama/namna ya kutekeleza mauwaji hayo.

Taarifa zinasema mara baada ya mwanaume kudhamiria kutekeleza tukio hilo lililo kinyume na neno la MUNGU katika kitabu kile cha Kutoka 20.13 alimwambia mpenzi wake kuwa; "Leo nimejisikia tutoke out twende Beach za Gorden tukajivinjari"  Mwanamke (Mama Koku) bila shaka lolote aliongozana nae mpenzi wake huyo ndipo wakiwa njiani katika makorongo ya Kilimahewa ''B'' mwanaume alimbadilikia ghafla na kumkaba kooni mwanamke na kupelekea kupoteza maisha. 

Mara baada ya mwaume kufanya unyama huo inasemekana zilipita siku kadhaa ndipo mwanaume alipowapiga simu kwa ndugu wa mwanamke huyo; "Njooni mchukue mzoga wenu!" Aliongea mwanaume huyo.
Mwanaume huyo anajishughulisha na shughuli za ubebaji mizigo katika soko kuu la Kigoma Mjini. 

Mara baada ya mwanaume huyo muuwaji kutoa taarifa kwa ndugu wa marehemu,ndugu walifanya jitihada za kumtafuta ndugu yao ndipo walipoukuta mwili katika Makorongo ya Kilimahewa ukiwa umeharibika vibaya na walilazimika kuzika hapo hapo.

Jeshi la Polis mkoani Kigoma linaendelea kumtafuta mtuhumiwa na atakapopatikana atapelekwa katika vyombo vya sheria.

Taarifa hii imethibitishwa na Diwani wa kata ya Mwanga Kaskazini Mh.Fransic Mangapi. 

MFANYABIASHARA maarufu nchini Nigeria amefariki dunia mara baada ya kubakwa na wake zake watano kati ya sita anaowamiliki. Hiyo ni kwa mujibu wa gazeti la Dail Mail. Awali Kabla ya kurejea nyumbani kwake inatajwa kuwa Uroko Onoja alikuwa akipata ulabu wake (pombe) katika baa moja huko Ugbugbu katika jiji la Benue hadi mida ya majogoo.

Tajiri huyo mfanyabiashara aliporejea nyumbani kwake huku akiwa na usongo wa mambo nyeti ya sita kwa sita, aliamua kukata kiu kwa mke wake mdogo (mke wa sita). Hata hivyo, wake zake wakubwa watano ile kuona hatua hiyo, ndipo walipoingiwa na wivu nao wakachukuwa hatua ya kutinga chumbani nao wapewe mambo. Wakiwa na silaha za asili kama visu na fimbo walivamia kitanda cha Onoja na kumlazimisha to have sex with them as well.
Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com