Sunday 12 October 2014


Written By Jo Cyberspace on Sunday, 28 September 2014 | 18:17



Mlima Ontake. 

Takriban wakwea milima 30 huenda wameaga dunia nchini Japan kufuatia kulipuka kwa mlima wa Volcano siku ya Jumamosi na kusababisha kukwama kwa mamia ya raia hao karibu na kilele cha mlima huo.

Makundi ya uokoaji yanasema kuwa yalipata miili karibu na kilele cha mlima Ontake. 

Wakwea milima katika mlima Ontake
Waokoaji hao wamefanikiwa kufika kwenye kilele cha mlima huo ambapo ndege ya kijeshi aina ya helikopta ilitumiwa kuwaokoa karibu watu 40 waliokuwa wamejeruhiwa.


Zaidi ya wakwea milima 200 walifanikiwa kuteremka kutoka kwa mlima huo wenye urefu wa mita 3000 wakati mlima huo ulipoanza kutupa mawe na majivu bila ya kutoa onyo lolote.
Baadhi yao walisema kuwa walishindwa kupumua kutokana na majivu yaliyokuwa yakianguka kutoka angani.

Askari wa jiji wakiwapakia wafanyabiashara kwenye ‘Karandinga’ ya askari polisi.
Baada ya kupigwa  mabomu ya machozi.
Wananchi wakikimbia.
Mwenye mkoba haya, mwenye mtoto twende…!!
Jamaa akifuta machozi.
Mama mwenye mtoto akinawa maji usoni, pembeni vijana wakinawishana.
Vuta nikuvute ya kutafuta maji ya kunawa.
Gari la polisi likielekea eneo la tukio kuongeza nguvu.
ASKARI wa jiji jana walilazimika kutumia mabomu ya  machozi kuwatawanya watu wanaofanya biashara kandokando mwa barabara ‘Machinga’ katika maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa wakazi wa eneo hilo, aliyezungumza na GPL, alifafanua chanzo cha askari kutumia nguvu hiyo, ambapo alisema ni baada ya wananchi kuwapiga mawe wakati wakitekeleza zoezi lao. 

“Majuzi  askari wa jiji walikwenda maeneo ya Segerea kwa ajili ya kufanya oparesheni ya kuwaondoa wafanya biashara kandokando mwa barabara, wananchi wakaanza kuwapiga mawe na kufanya zoezi hilo kuwa gumu. Ndiyo maana leo baada ya kuanza kupigwa mawe, nao wakaamua kutumia mabomu ya machozi katika kuwatawanya.’’
Hizi picha tumezicopy kutoka Bongoclantz.com ila sasa kwakua tumecheka na sisi tumeona bora na nyie mcheke. Hebu relax and laugh.

Uuuuwiiiiiii…! Ni shidaaa!





Safarietu iko namunaii…










Your smell
Yes a nice cologne works wonders, but your body odour can turn her on too. Research shows that a man’s natural scent can turn a woman on in a matter of seconds. In fact, scientific experiments have shown that based on the smell of his tshirt alone, a woman can tell if she is attracted to him – without ever even seeing his face.


Your manners

It’s a modern world, but old fashioned chivalry is alive and well in the dating and relationship scene. If you are rude or inconsiderate to a waiter on a date, she is likely to think you will be to her too. But if you show lovely manners not just to her, but those around you, she is more likely to drop her guard and let you in because she will consider you a decent guy. And if she drops her guard and warms to you socially, she’s more likely to to warm to you in all ways if you follow my drift fellas.

Your feminine side
Does a woman love a hot, hard, chiseled sex machine? Yes! Does she think it’s sexy if that macho man gives her a massage, rubs her feet, paints her nails or has a bath with her? Ooooh yes she does. Drop the tough guy vibe sometimes and be tender with her, do touchy feely activities together that pamper her or you both. Indulgence is sexy every once in awhile


Your secrets

Most women find intimacy sexy. Tell her your secrets, share your heart, reveal your vulnerabilities and she doesn’t think you’re weak at all – she thinks you’re strong, brave and most of all special and very sexy.


Your rhythm

Women love a guy who can dance. Can’t dance? Go learn! You don’t need to be able to sweep her off her feet, but holding a rhythm and not being shy to slow dance with her in the lounge, or step onto the dance floor with her when you’re out on the town is super sexy to a woman whether it’s a first date or a tenth anniversary together. Some say dancing is like making love dressed. So if you do it well, some women say there’s nothing sexier!
  1. Mirror photoshop trick? No.
They’re just soldiers marching in unison. 
2. A tornado? No.
 
Just a big cloud! 
3. Witch’s house, maybe? No. 
 
It’s a real house. It’s just painted in black! 
4. Some bear stuffed toy? No. 
 
It was Brutus the bear who was raised in captivity by this family. 
5. A plastic fish? No. 
 
It’s the biggest goldfish ever 
6. Tricking you? No. 
 
Just in Eli Roth’s Goretorium haunted house to haunt you! 
7. Walking on water? No. 
 
Just perfect timing! 
8. A ghost? No. 
 
Just makeup. 
9. Some atomic bomb? No. 
 
Just a photo of a cloud taken by a National Geographic photographer. 
10. It’s not what you think. 
 
It’s the “Magic tap” at a Santa Maria water park. 
11. Glued on the photo? No. 
 
Just the daredevil Dean Potter walking on a tightrope 
12. Really built like this? No. 
 
These train tracks in New Zealand were straight and then this happened after an earthquake 
Sponsor: 
13. Dreaming? No. 
 
A man-made funnel that drains during floods. 
14. Flying buildings? No. 
 
It’s the Dubai skyline reaching the clouds. 
15. Siddharta Gautama? No. 
 
Just a 3D image (looks like Buddha) on a tree by the photographer Clement Briend. 
16. A cross made in purpose? No. 
 
Just a pole that caught on fire. 
17. Kind of flowing? No. 
 
Just a drape over a construction site. 
18. Headless hockey player? No. 
 
The helmet was took off. Perfect shot. 
19. Wrongly landed? No.
 
This is a resort on the east coast of South Korea! 
20. In different photo effect? No. 
 
Makeup and hair dye will do wonders! 
21. Painted body? No. 
 
Just a hybrid of a pony and a zebra! 
22. Photoshop? No. 
 
This was taken by the French photographer Philippe Ramette. 
23. Unreal? No. 
 


Mike Sonko ni yule Mwanasiasa mwenye vituko ambae alipata umaarufu sana toka akiwa mbunge kwa kuwa na swagg zake kivyakevyake, alikua mbunge kijana ambae anaingia na hereni bungeni, blingbling kibao kama cheni na pete kama anavyoonekana ametupia kwenye hii picha hapa juu akiwa sasa ni Seneta wa jiji la Nairobi.

Sasa juzi kati Rais Uhuru Kenyatta alikwenda The Hague Uholanzi kwenye Mahakama ya ICC kwa hiyo Wakenya wenzake wanaopinga huo uamuzi wa ICC na kuona ni usumbufu wakajilipia nauli zao ili kwenda kumsupport ambapo Seneta huyu ni mmoja wa waliojilipia na kulipia wengine pia.

Pamoja na Sonko kwenda huko akiwa na dukuduku la kukerwa na maamuzi ya Mahakama hiyo akiitaka imuache Rais wao wa Kenya afanye kazi, aliamua kuvaa tshirt yenye maandishi ya Kiswahili ‘ikiwatusi’ Wazungu kama anavyoonekana kwenye hii picha hapa chini.

Kwenye hizi picha hapa chini anaonekana Seneta wa jiji la Nairobi Mike Sonko akiwa amewasili mahakamani ICC na kikosi chake kisha wakafanya maandamano mafupi kabla ya kumpa support Rais Uhuru kwa kuimba wimbo wa taifa na nyimbo za kizalendo wakati kesi ya Uhuru ikiwa inaendelea Mahakani.
Tayari Rais Uhuru Kenyatta amerejea Kenya jana asubuhi na kupokewa na maelfu ya Wakenya ambao hawakupendezwa na kilichofanywa na Mahakama hiyo.

Muda mfupi tu baada ya kuwasili jana Rais Kenyatta alipiga vijembe Mahakama hiyo kwa kusema ‘Walikua wanafikiria kwamba tutakataa kwenda mi nikawaambiwa ile kitu itakataa kuja huko ni Urais wa Wakenya, tumeenda tumekaa huko masaa matatu hatujaambiwa chochote… hatukufungua mdomo sasa hata nashindwa kujua nilikwenda kufanya nini’


‘Ile kitu hawajafahamu kwa vichwa vyao ni kwamba kama nchi ya Kenya tumetoka safari ndefu, na wasifikiri ya kwamba hatujui ni mahali gani tulifanya makosa, sisi tunawaambia hapana….. tuko na suluhu ya shida zetu’ 
Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com