Wednesday 22 October 2014

Untitled33
Mfalme wa Kusini,Clifford Joseph Harris, Jr aka T.I baada ya kuacha historia kubwa Tanzania katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 Oct 18 Leaders Club Dar es Salaam, Mkurungenzi Mtendaji wa Clouds Media Group,’Joseph Kusaga’ alimkabidhi msanii huyo zawadi  yenye mfano wa silaha za jadi.
.
.
Itazame  video hapa mtu wangu uone jinsi alivyokabidhiwa zawadi hiyo
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza 

0 comments:

Post a Comment

Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com