Wednesday 22 October 2014


 










Familia ya ndugu Aron Sondi inayeishi Kigamboni jijini Dar es Salaam, ambao taarifa zikiambatana na picha za kuungua kwa nyumba na kupoteza mali na vitu vyote jana jioni zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao (zimepachikwa hapo chini), wanaomba michango ya hali na mali. 


Atakayeweza kusaidia kwa vyovyote tafadhali awasilishe michango kupitia namba ya Aron0763210530 au kupitia Tigo pesa ya mke wake, Sara Obel: 0713560844.



0 comments:

Post a Comment

Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com