Monday 1 September 2014


Vijana watatu wavunja duka na kuiba vitu vyote vya duka. Katika tukio hilo lililotokea maeneo ya Mbagara Kipati, 

vijana hao waliweza kukamatwa na raia wema kisha na kuanza kuwapiga jambo ambalo lilipelekea vijana wawili kati yao kupoteza maisha kabisa, huku kijana mmoja akiwa yuko hoi kama unavyo muona kwenye picha.

0 comments:

Post a Comment

Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com