Monday 1 September 2014


Maafisa wa jeshi la Polisi wilaya ya Kahama wakiwa katika eneo la tukio katika kwa ajili ya kuuchukua mwili wa Marehemu. Inasemekana watuhumiwa hao walivamia chumba ya mkazi mmoja wa mtaa wa Muhungula Kahama na kujeruhi kwa mapanga watoto wawili usiku wa kuamkia leo.
Endelea kufatilia mtandao huu na muda si mrefu tutawaletea taarifa kamili.

0 comments:

Post a Comment

Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com