Sunday, 19 October 2014

Violent clashes with police broke out overnight as activists recaptured territory officers cleared in pre-dawn raids Hong Kong leader has still not agreed to meet with protest groups as anger over elections continues to build  By CHRIS PLEASANCE FOR MAILONLINE PUBLISHED: 01:10 GMT, 19 October 2014 | UPDATED: 10:10 GMT, 19 October 2014 View comments It...
libya Marekani na mataiafa manne ya bara Ulaya yamelaani ghasia zinazoendelea nchini Libya na kutaka mapigano hayo kusitishwa mara moja. Libya imeshuhudia mapigano siku za hivi karibuni kati ya makundi hasimu yaliyoibuka wakati wa vita vya kumuondoa madarakani aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Muammar Gaddafi. Kwenye taarifa ya pamoja Ufaransa, Ujerumani , Uingereza , Italia na Marekani wanasema...
WIMBO MPYA WA MKUBWA NA WANAWE.SIKILIZA HAPA....... Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook - See more at: http://www.ngastuka.com/2014/08/sikiliza-na-ku-download-wimbo-mpya-wa_9.html#sthash.6bF2neYz.d...
Ange Kagame hivi karibuni amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii na kuzidi kujiongezea umaarufu, hii sio tu kwasababu ni mtoto wa pili na wakike pekee kati ya watoto wanne wa raisi Kagame bali muonekano wake wenye mvuto asilia umefanya wengine kufikia hatua ya kumfananisha na Cleopatra. Ange alizaliwa mwaka 1989 na kwa mda mrefu amekuwa kwenye masomo nje ya nchi hivyo hajapata kufahamika...
Boko haram Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa watu wanaokisiwa kuwa wanamgambo wa Boko Haram wamewaua watu kadha kwenye jimbo la Borno siku moja tu baada ya jeshi la Nigeria kusema kuwa limeafikia makubaliano ya kusitisha vita na kundi hilo. Katika shambulizi moja wanamgambo hao wanaripotiwa kuwaua watu mashuhuri katika kijiji cha Abadam kazkazini mwa jimbo hilo na kuwalazimu watu wengine...
 Gari aina ya Land Cruser lenye namba za usajili T 985 CYZ  ambayo ni mali ya chama cha CCM likiwa limeharibika upande wa mbele baada ya kugongana na roli la mizigo mkoani Morogoro. Pia katika ajali hii hakuna mtu aliyefariki.  Wasamalia wema wakilitoa gari dogo barabarani kwa ajili ya kuondoa foleni iliyokuwepo eneo hilo ...
Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com