Tuesday, 25 November 2014

Ni habari ya kusikitisha sana kupata taarifa hizi kwa kila mwenye moyo wa binadamu. Mtoto huyu ambaye alioneshwa akiteswa na house girl katika video iliyorekodiwa kwa siri na camera iliyotegeshwa sebuleni amefariki dunia. Mtoto alivunjika mbavu kutokana na kukanyagwa sehemu ya mbavu zake. Hivi leo tu tulipost video inaonesha jinsi ambayo mtoto huyu alikuwa akilazimishwa kula wakati...
...
Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima amezushiwa kifo na mtu asiyejulikana. Kiungo huyo mchezeshaji raia wa Rwanda, amezushiwa kuwa ameumia vibaya na baadaye kupoteza maisha katika ajali hiyo ya gari. Habari hizo zimesambaa kwa kasi leo kuanzia alfajiri huku watu mbalimbali wakipiga simu kwenye blog hii na kuandika ujumbe wakitaka kujua nini tatizo. Juhudi za kumpata Niyonzima...
Imetokea nchini India baada ya mama mmoja kujifungua mtoto mwenye miguu minne na mikono minne huku akipokelewa na wenyeji kwa furaha kubwa na kuitwa ‘Mungu Mvulana’Mtoto huyo amepewa jina la ‘Mungu Mvulana‘ kwa kuwa kuzaliwa na viungo kama hivyo si jambo la kawaida na huchukuliwa kama mfano wa Mungu kwa jamii za kihindu na watu walisafiri kutoka kona mbalimbali za nchi hiyo  kwenda...
WAKATI TEAM WEMA WAKIENDELEA KUMPONDA ZARI KUWA NI MZEE NA ANA WATOTO! TEAM DIAMOND WACHARUKA KIIVI! This is one of Diamond fan's INSTAGARM account....These are some of photos they posted.... ...
Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com