Thursday, 15 January 2015

Stori: Joseph Ngilisho, ARUSHA/UWAZI  MAZISHI ya Carista Charles Makoi, 52, (pichani), ambaye alikuwa mke wa mfanyabiashara bilionea jijini hapa, Charles Makoi yamefanyika huku shilingi milioni 200 zikisemekana kuteketea kwa bajeti. Mfanyabiashara maarufu jijini hapa, Patrick Ngiloi ambaye ni mmiliki wa vituo vya mafuta vya Kampuni ya Panone ndiye aliyekuwa mwenyekiti...
Baadhi ya Wanafunzi 84 wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wakiwa chini ya ulinzi kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni hapo na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo mjini Dodoma leo. Baadhi ya Wanafunzi 84 wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wakiwa kwenye gari ya polisi baada ya kutiwa mbaroni kwa tuhuma za kuhamasisha...
Moja kati ya video zilizokua zinasubiriwa kwa hamu mithili ya video ya Mwana ya Alikiba ni hii ya Mwana FA "Kiboko Yangu"  Mwana FA amesema katika video ambazo zime mgharimu ni hii hapa ya Kiboko yao,ambayoVideo hii ime imefanyiwa nchini Kenya na imeongozwa na director Kelvin Bosco Juniour wa Kenya!Bonyeza Play hapa chini kuicheki video hiyo. Kama kifaa chako hakisomi player hii====>>BOFYA...
Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com