Friday, 19 December 2014

...
Pichani ni Bosi wa IPTL Bwana  Harbinder Singh Sethi NA KAROLI VINSENT RAIS  Jakaya Kikwete amehailisha Mkutano wake kati ya Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam  uliokuwa ufanyike leo Katika Ukumbi wa Ubungo plaza mpaka Jumatatu ya Wiki Ijayo.     Sababu ya Kuhailisha Mkutano huo bado haijasemwa ila Wadadisi wa masuala ya Mambo wanasema Sababu ya Rais Jakaya Kikwete...
Stori:waandishi wetu MENGINE yameibuka! Kifo cha aliyekuwa mnenguaji wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’ kimeibua mengine ambapo baadhi ya watu wa karibu wanaamini kimetokana na kudungwa sindano tano za majimaji yenye madawa ya kulevya, ‘unga’ na rafiki yake, Ijumaa ‘Kubwa’ linakupa zaidi. Marehemu Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’enzi...
Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com