Saturday, 13 December 2014

Jana Bunju B iliingia katika News Kila Kona Kwa matukio Mawili kutokea Ambayo yalivuta mkusanyiko wa watu na minongono kila kona , Baada ya lile tukio la Gari aina ya Land Cruiser VX kuchomwa Moto na Wananchi baada ya kusababisha ajali na Kuuwa watu watatu walio kuwa kwenye Boda Boda , Jioni yake Palitokea tukio la Ajabu ambapo Watu wawili Mwanaume na Mwanamke walio kuwa wakifanya mapenzi gesti...
BONYA HAPA KUANGALIA PICHA HIZO...
Aiseee nimepitia mitandao kadhaa pamoja na page ya bwana mkubwa Chriss Brown aisee ni sheeda, kamchana huyu bi dada karrueche, naskia kagonoka na Drake. Pitia clip hii Youtube juzi ijumaa kwenye show yake akatangaza yu Single na kumporomoshea mitusi bi shost loh!Kweli ukistaajabu ya project utayaona ya Zari Ze Boss Lady...
Zari Ameibuka na kumwambia Wema Sepetu kuwa Diamond Sio Mume wa mtu na wala sio mchumba wa mtu kwa sasa hivyo kitendo cha yeye kutoka out naye ni sawa kwani ni maamuzi ya Diamond Mwenyewe kwa vile kwa sasa yupo huru kabisa..Hivyo Wema Sepetu na Team yake wakae Kimya Waangalie tu jinsi Project inavyokwenda kwani muda wake wa kujivinjari na Diamond ulishapita....Mweee.. Ndimu zikuwap...
   A small tornado hit downtown Los Angeles on Friday for the first time in 10 years The tornado lifted roofs from homes, damaged trees, and mangled a steel billboard  The West Coast storm has ravaged California causing the evacuation of hundreds of homes, power outages, and even deaths Two people were rescued after being swept away by the flow of the rain-swollen Los Angeles River By CHARLENE...
Talk of the curse of s*xy house helps! You won’t believe the level at which this girl had to go to seduce her boss;...
Malia together with her boy friend Baada ya story kuhit sana kwenye vyombo vya habari kwamba mtoto wa rais Barack Obama, Malia Obama kuwa ni mjazito zimethibitishwa na yule alikuwa akishutumiwa kuwa ndie aliyempatia ujazito huo   Mitandao mikubwa ya nchini marekani imekuwa ikiripoti kuwa mtoto wa raisi huyo amekuwa akiwa na tabia za kutoka usiku kwenda kwa...
Add caption Hili ni basi ambalo limetumbukia shimoni kwenye mlima Kitonga mkoani Iringa. Basi lililotumbukia shimoni bila abiria lilikuwa likivutwa, na haikuwezekana. Njia ilifungwa na mamia ya wasafiri tulibaki eneo la tukio kwa saa mbili na nusu.VICTOR SIMON   YAJUE MAAJABU YA MLIMA KITONGA KWA KILA MWAKA.. KWA RAIA WA TANZANIA. dereva alijitahidi kuokoa maisha...
Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com