Thursday, 20 November 2014

Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Tatu Ikoko mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, hivi karibuni alifunga mtaa kwa kutembea bila nguo baada ya kumfumania mumewe akiwa na mwanamke mwingine.  Chanzo chetu cha kuaminika kilisema mwanamke huyo aliondoka nyumbani kwake usiku wa Ijumaa iliyopita na aliporejea asubuhi, alimkuta mwenzake akiwa na kigori mwingine ndani ndipo alipopagawa.     Tatu...
Kenya Kimenuka kwa Wanawake Wanaovaa Nguo Fupi ama Suruali za Kubana na Kuachia Makalio , Mpaka sasa yameripotiwa matukio kadhaa ya wanawake waliovaa min Skirts  kushambuliwa na kuvuliwa nguo hadharani mbele za watu ..Hili Hapa chini ni tukio mojawapo … ...
  As part of a social experiment by Model Prankster, model Leah Jung paraded around the streets of New York completely naked…with only a realistic-looking pair of jeans painted on her, complete with stitching and on-trend patches, making it look like she’s actually wearing jeans…but nobody even noticed she was naked.The video, which was posted online last week has gone viral with...
Basi la Sai Baba Express limepata ajali eneo la Pingo, Chalinze leo asubuhi baada ya kutaka kulipita basi lingine wakati mvua ikinyesha na kupelekea basi hilo kupinduka. Basi hilo lilikuwa linatokea Dar likielekea mkoani Mbeya. kwa taarifa za mapema zinasema kuwa akuna mtu aliyefariki katika ajali hiyo ...
Prizenta wa Kituo cha Radio E-FM cha jijini Dar, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’ anadaiwa kukumbwa na mauzauza yaliyodaiwa ni mapepo na kujikuta akipiga makelele barabarani. Prizenta wa Kituo cha Radio E-FM cha jijini Dar, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’.  Habari kutoka kwa shuhuda wetu zilidai kwamba, ishu hiyo ilijiri maeneo ya Makongo jijini Dar es Salaam, juzikati wakati staa huyo akielekea...
Mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina moja la Betty baada ya kupigwa risasi leo asubuhi huko Yombo Vituka, Temeke jijini Dar es Salaam akiwa kwenye gari aina ya Toyota Pick Up mali ya Tunu Security na watu waliokuwa katika bodaboda. Wananchi wakiwa eneo la tukio. Mwili wa marehemu Betty ukibebwa na polisi kupelekwa Hospitali ya Chang'ombe, Dar kwa uchunguzi. ...Polisi wakiweka mwili wa...
Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com