Saturday 18 October 2014

13
14
15Tunajua rapper T.I kutoka Marekani ni mmoja wa wakali ambao wamepewa hati miliki ya stage ya tamasha la Fiesta linalofanyika leo viwanja vya Leaders Kinondoni Dar es salaam likiwa na wakali wengine kama Diamond, Ommy Dimpoz, Nay wa Mitego, Waje, Stamina, Mwana FA, Victoria Kimani, Linah naVanessa Mdee.
16
1
2
4
3
5
6
11
10
8
7
12
20
Gari lililombeba T.I kutokea Airport
Utakuwepo leo Fiesta mtu wangu? nitajie nyimbo mbili maarufu za T.I sababu kuna zawadi zitatolewa kwa wachache wataowahi kucomment.

0 comments:

Post a Comment

Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com