| Jaji Joseph Warioba akitoa mada. |
| Mtoa mada katika mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa, Jaji Joseph Warioba akitoa mada kabla ya mkutano huo kuvunjika katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Saam leo. |
| Baadhi ya vijana walioingia na mabango ndani ya ukumbi wa mkutano wakiwa na mabango yaliyokuwa yakisomeka ‘Katiba inayopendekezwa tumeipokea tunaiunga mkono’. |
| Mlinzi wa Jaji Joseph Warioba (kushoto) akimkinga kwa mikono ili asipate madhara baada ya mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa kuvamiwa na kundi la vijana na kusababisha uvunjifu wa amani. |
| Jaji Joseph Warioba akiangalia usalama wake kabla ya kuondolewa mlinzi wake katika ukumbi wa Ubungo Plaza ambapo mdahalo wa kuijadili Katiba inayopendekezwa ulikuwa ukifanyika kabla ya kuvunjika. |
| Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Humphrey Polepole akimzuia mmoja wa vijana aliyekuwa na jazba mara baada ya kutokea kwa vurugu katika mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekeza. |
| Vijana wakiwa na mabango. |
| Fujo zinaanza. |
| Baadhi ya viti vilivyovujwa. |
![]() |
| Jaji Mstaafu Mh. Joseph Sinde Warioba akisaidiwa kuondolewa kwenye Mdahalo huo mara baada ya kuzuka kwa tafrani hiyo. |
![]() |
Jaji Mstaafu Mh. Joseph Sinde Warioba akisaidiwa na wanausalama wa kuondolewa
kwenye mdahalo huo mara baada ya mambo kuharibika kutokana na vurugu kubwa.
|
| Jaji Warioba akitoka katika ukumbi huku akisindikizwa na askari kanzu. |
| Jaji Warioba akiwapungia mkono wananchi waliokuwa wamefurika nje ya jengo la Ubungo Plaza ambako mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa ulikuwa ukifanyika. |
Wananchi walikuwa nje ya jengo la Ubungo Plaza wakimshangilia Jaji Warioba wakati akitoka katika
ukumbi wa mdahalo huku wakimuita 'Rais Rais'.
|
RSS Feed
Twitter



11:08
Unknown
.jpg)



0 comments:
Post a Comment