Sunday 19 October 2014


.
.
Usiku wa Oct 17 Zuwena Mohamed aka Shilole amezindua video ya single  yake mpya ‘Namchukua’,video ambayo imeongozwa na director Kevin Bosco Junior nchini Kenya.Uzinduzi huo ulifanyika Coco Lounge maeneo ya Coco Beach,Dar es Salaam.
Wadau wa muziki na wasanii mbalimbali walijitokeza kushuhudia video hiyo mpya ‘Namchukua’, akiwemo Chegge,Mh.Temba,Madee,Quick Rocka,Dogo Asley,Janjaro,Julio,Queen Darling,Wakazi,Diamond Platnumz,Nay wa Mitego,Ezden The Rocker na wengineo.
Hizi ni picha za uzinduzi huo
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza 

0 comments:

Post a Comment

Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com