Tuesday, 25 November 2014
Friday, 21 November 2014
00:10
Unknown
"When a guy gets protective over you I swear that eish right there is dope. I think it's super adorable, intruders get your level, " were Zari's words two days back and now just hours after splitting;
"Stress comes from trying to maintain a positive attitude in the midst of negative people. God didn't give me the spirit of fear & you're not going to give me your spirit of negativity. Mistakes make you wiser, heartbreak makes you stronger, & wrong turns often take you to the right place. It all serves a purpose. Sometimes bad things bring about good change..sometimes little decisions alter the big picture."
Just in case you are not aware, Zari and Farouk are no more. The couple split yesterday and Ruth Kalule, Farouk's other gal is the reason behind their splitting. Zari is now waiting for the right man "This is a blow, I trusted him you know, I thought he could be different but you all men are crap. But I have faith, my guy is out there somewhere, he will come the right time."


Thursday, 20 November 2014
06:07
Unknown
Tatu Ikoko akiwa katika hali ya kuvurugwa baada ya kumfuma mumewe na hawara.
“Alitoka usiku mzima akarudi saa moja asubuhi akamkuta bwana’ke yuko na mwanamke mwingine ndani, akaanzisha vurugu, akavua nguo na kubaki na kanga moja na kuanza kupita mtaani huku akisema nivue nisivue na watu wakawa wanamuitikia vua.
“Baada ya hapo tu watu wazima na mashosti zake walimshika na kumsitiri, akaja bwana’ke akamchukua wakaenda nyumbani kwao,” kilisema chanzo hicho.
Chanzo kiliendelea kufunguka kuwa tukio hilo siyo mara ya kwanza kwa mwanamke huyo kwani alishawahi kufanya hivyo akiwa na mwanamume mwingine aliyejulikana kama Kisiso mtaani hapo na waliachana kwa tabia hiyo.
“Akiwa na mwanaume halafu akamfumania, ndiyo huwa anafanya hivi na yule mshikaji wa kwanza kwa aibu ilibidi ahame, sasa hivi anaishi Mbagala,” kilisema chanzo hicho.imeandikwa na shani ramadhani na mayasa mariwata.
06:02
Unknown
As part of a social experiment by Model Prankster, model Leah Jung paraded around the streets of New York completely naked…with only a realistic-looking pair of jeans painted on her, complete with stitching and on-trend patches, making it look like she’s actually wearing jeans…but nobody even noticed she was naked.
The video, which was posted online last week has gone viral with millions of views. Model Praksters said did the experiment to determine how observant people of New York City are. They are apparently not very observant as 90% of the people who walked past Leah didn’t even notice she was naked. See the photos after the cut…
The video, which was posted online last week has gone viral with millions of views. Model Praksters said did the experiment to determine how observant people of New York City are. They are apparently not very observant as 90% of the people who walked past Leah didn’t even notice she was naked. See the photos after the cut…
06:00
Unknown
Basi la Sai Baba Express limepata ajali eneo la Pingo, Chalinze leo asubuhi baada ya kutaka kulipita basi lingine wakati mvua ikinyesha na kupelekea basi hilo kupinduka. Basi hilo lilikuwa linatokea Dar likielekea mkoani Mbeya. kwa taarifa za mapema zinasema kuwa akuna mtu aliyefariki katika ajali hiyo
05:59
Unknown
Prizenta wa Kituo cha Radio E-FM cha jijini Dar, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’ anadaiwa kukumbwa na mauzauza yaliyodaiwa ni mapepo na kujikuta akipiga makelele barabarani.
Prizenta wa Kituo cha Radio E-FM cha jijini Dar, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’.
Chanzo hicho kilidai kwamba Penny alikuwa akiendesha gari kwa mwendo wa kawaida, alipofika maeneo hayo aliegesha gari pembeni na kuanza kupiga kelele akilia kwa uchungu hivyo kuwaacha watu waliomshuhudia wakiwa midomo wazi wakitaka kujua kilichompata mtangazaji huyo. Mpashaji wetu huyo alizidi kueleza kwamba baada ya kama dakika kumi, Penny aliondoa gari na kuendelea na safari.
Paparazi wetu aliponyetishiwa ishu hiyo alimtafuta Penny na kumuuliza kuhusu tukio hilo ambapo alisema alikuwa akienda kwenye msiba wa rafiki yake, alipokaribia kufika alipata uchungu ndiyo akatokewa na hali hiyo.
05:45
Unknown
Mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina moja la Betty baada ya kupigwa risasi leo asubuhi huko Yombo Vituka, Temeke jijini Dar es Salaam akiwa kwenye gari aina ya Toyota Pick Up mali ya Tunu Security na watu waliokuwa katika bodaboda.
Marehemu Betty ameuawa na watu waliokuwa kwenye bodaboda wakati akiwa kwenye gari la Tunu Security akitokea kituo cha mafuta kuelekea benki.
Watu hao waliokuwa kwenye bodaboda mmoja alimpiga dereva wa gari risasi ya mkononi alafu akampiga Betty risasi ya kichwani huku mlinzi aliyekuwa katika gari hilo akikimbia ambapo watu hao walichukua mfuko uliokuwa na pesa na kutokomea kusikojulikana.
Baadaye mwili wa marehemu ulichukuliwa na polisi na kupelekwa Hospitali ya Chang'ombe,Dar kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)
RSS Feed
Twitter





.jpg)











