Jump media player
Media player help
26 Novemba 2014 Imebadilishwa mwisho saa 16:35 GMT
Mjane wa Hayati Baba wa Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Nyerere, Maria Nyerere, amezungumzia sakata ya ESCROW iliyozungumziwa bungeni mjini Dodoma na kupendekeza ripoti ya mgogoro huo wa IPTL kujadiliwa kwa uwazi ili kupata ufumbuzi na wahusika kuwajibishwa kwa manufaa ya umaa.
...
Wednesday, 26 November 2014


+5
Scientists at the University of Zurich have discovered that DNA can survive the harsh conditions of space and re-entry into the atmosphere. The finding was made by attaching DNA to the outer casing of a rocket, shown launching from the Esrange base in Kiruna, Sweden. It has led to questions about the origin of life on Earth
The research, published online in the journal Plos One,...



Kuna mambo hapa chini kwenye hii CV kidogo yananipa shida. Naomba wadau mliosoma zamani mnisaidie. Je, miaka ya nyuma elimu ya msingi ilikuwa miaka mitatu?Huyu mama Dr.Lwakatare alisoma Ifakara Girls Primary Schoolalianza mwaka 1962 na kumaliza 1965. Pia nisaidieni; Je, elimu ya sekondari A level ilikuwa mwaka mmoja? Maana yeye CV yake inaonesha Korogwe Girls' HighSchool A-Level Education alianza...
VIDEO NA PICHA 18+ TU>>MWANCHUO DAR AZIMIA BAADA YA KUFANYWA NA WANUME WANNE KWA MPIGO JIONEE HAPA>.



PICHA NA VIDEO HAPA 18+ TU>&g...
Tuesday, 25 November 2014



Ni habari ya kusikitisha sana kupata taarifa hizi kwa kila mwenye moyo wa binadamu. Mtoto huyu ambaye alioneshwa akiteswa na house girl katika video iliyorekodiwa kwa siri na camera iliyotegeshwa sebuleni amefariki dunia. Mtoto alivunjika mbavu kutokana na kukanyagwa sehemu ya mbavu zake. Hivi leo tu tulipost video inaonesha jinsi ambayo mtoto huyu alikuwa akilazimishwa kula wakati...


Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima amezushiwa kifo na mtu asiyejulikana.
Kiungo huyo mchezeshaji raia wa Rwanda, amezushiwa kuwa ameumia vibaya na baadaye kupoteza maisha katika ajali hiyo ya gari.
Habari hizo zimesambaa kwa kasi leo kuanzia alfajiri huku watu mbalimbali wakipiga simu kwenye blog hii na kuandika ujumbe wakitaka kujua nini tatizo.
Juhudi za kumpata Niyonzima...



Imetokea nchini India baada ya mama mmoja kujifungua mtoto mwenye miguu minne na mikono minne huku akipokelewa na wenyeji kwa furaha kubwa na kuitwa ‘Mungu Mvulana’Mtoto huyo amepewa jina la ‘Mungu Mvulana‘ kwa kuwa kuzaliwa na viungo kama hivyo si jambo la kawaida na huchukuliwa kama mfano wa Mungu kwa jamii za kihindu na watu walisafiri kutoka kona mbalimbali za nchi hiyo kwenda...
Friday, 21 November 2014


"When a guy gets protective over you I swear that eish right there is dope. I think it's super adorable, intruders get your level, " were Zari's words two days back and now just hours after splitting;
"Stress comes from trying to maintain a positive attitude in the midst of negative people. God didn't give me the spirit of fear & you're not going to give me your spirit...



TAHADHARI MDADA HII INAKUHUSU!! SOMA HII INAKUHUSU SAAAAAAAAANA.
Idadi ya wanawake wanaotafuta kuongeza makalio bandia kwa njia za upasuaji inaongezeka nchini Marekani.
Kutokana na gharama kuwa kubwa, baadhi huenda kwa madaktari wasio rasmi, na kusababisha madhara makubwa. FBI imesema huu ni uhalifu unaokua kwa kasi. Kwanini baadhi ya wanawake hutaka kuongeza ukubwa wa&nbs...
Thursday, 20 November 2014



Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Tatu Ikoko mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, hivi karibuni alifunga mtaa kwa kutembea bila nguo baada ya kumfumania mumewe akiwa na mwanamke mwingine.
Chanzo chetu cha kuaminika kilisema mwanamke huyo aliondoka nyumbani kwake usiku wa Ijumaa iliyopita na aliporejea asubuhi, alimkuta mwenzake akiwa na kigori mwingine ndani ndipo alipopagawa.
Tatu...
Subscribe to:
Posts (Atom)