Saturday 17 January 2015

Ongwen kulia
Mwendesha mashtaka nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati anasema kuwa kamanda wa cheo cha juu wa kundi la Lord's Resistance Army LRA nchini Uganda amekabidhiwa wawakilishi wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC.
Mwendesha mashtaka huyo alisema kuwa Dominic Ongwen anayeshutumiwa kwa kuendesha uhalifu dhidi ya binadamu atasafirishwa kwenda mjini Hague hii leo.
Ongwen alichukuliwa kama mwanajeshi mtoto na kundi la LRA kabla ya kukamatwa na wanajeshi wa Marekani wiki iliyopita.

0 comments:

Post a Comment

Design by GG greggy| Blogger Theme by greggy - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com